Namshukuru Mungu kwa kuwa ayafanyayo ni makubwa maana nina uhakika hakuna hata mmoja awezaye kugusa hata chembe ya utukufu wake bali Jina lake litabaki kutukuzwa daima milele. Kwamaana kwa neema niyopewa namwambia kila mtu aliyeko kwenu asinie makuu kupita ilivyo mpasa kunia; bali awe na nia kiasi, kama Mungu alivyomgawia kila mtu kiasi cha imani yake. Rum.12:3. Basi katika hayo maana Mungu hugawa karama na vipawa ambavyo yeye aliwapa watoto wake ili kusudi lake lipate kutimilika katika utukufu wake. Basi kwa mwanzo huu maaana Mungu anena nasi kwa nia yane lake nasi kama kusudio lake tuyafanye yale Mungu atuagizayo ili twa neema yake tupate kuichuchumilia taji ile aliyotuahi. Neema ya Bwana Yesu na iwe nanyi nyote Amina.